karibu

karibu
kwa wote wapenda vitu vizur
Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks
Powered By google

Post ya Diamond Platnumz baada ya kukamilika kwa utoaji wa tuzo za MTV Mama 2016.


Baada ya kukamilika kwa utoaji wa tuzo za MTV Mama 2016 huko Johannesburg Afrika Kusini, Bongo Fleva Super staa Diamond Platnumz ambaye alikuwa miongoni mwa wasanii kutoka Tz aliyewania tuzo hizi katoka vipengele vya msanii bora wa mwaka na msanii bora wa kiume,alitoa ujumbe huu baada ya tuzo hizo kubebwa na Mnigeria WizKid.
Shukran sana sana kwa Kura na support Kubwa mlionipa na mnayoendelea kunipa…. pia S/O kwa my fellow Tanzanian Artist wote waliobahatika kuchaguliwa… Kamwe tusisononeke.. kuingia tu watanzania wengi kwenye MtvAwards ni hatua kwa Mziki wenu na Ushindi tosha kwa Taifa letu…ila wanna congrats my brothers @sautisol for the Best Group award… my hommie @jahprayzah and @wizkidayo ya’ll deserve the Trophies…. ????????
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment


widgeo.net