karibu

karibu
kwa wote wapenda vitu vizur
Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks
Powered By google

Picha 3 za jinsi Diamond Platnumz alivyopokelewa Dar es salaam, mpaka Polisi ndani ya msafara.




d17Baadhi ya mastaa wa Afrika walioona mapokezi ya Diamond Dar es salaam wamependa sana upendo wa Watanzania kujitokeza kumpokea Platnumz baada ya kushinda tuzo tatu za Channel O 2014 zilizotolewa Johannesburg South Africa.
Kwenye msafara wa Diamond Platnumz kulikua na Polisi pia ambao kazi yao ilikua ni kuhakikisha usalama unakuwepo ambapo sehemu nyingine Diamond alilazimika kushuka na kutembea kupiga picha na watu wake.
d16
d15
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment


widgeo.net