
Kwenye Interview aliyofanyiwa hivi karibuni rapa Kanye West amezungumzia kwanini anajiita ‘Genius’.
Kanye West anasema ” Nibora nijipe jina mimi mwenywe kuliko nipewe majina kama “celebrity,” “nigger,” or “rapper.”, ambayo piwa wakati wanakuita hivyo hawafanyi kwa mazuri, lazima niseme kwa watu mimi ni nani” .
0 comments:
Post a Comment