karibu

karibu
kwa wote wapenda vitu vizur
Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks
Powered By google

Safaree Samuels amponda Nicki Minaj na kumsifia K. Michelle.


safaree-samuels 

Rapa na mwandishi wa nyimbo aliyewahi kuwa mchumba wa Nicki Minak ‘Safaree’ amemponda Nicki Minaj kwa kutomtaja kwenye album zake baada ya kumuandikia nyimbo.
Safaree amemsaidia rnb K. Michelle kuandika album yake mpya na Safaree ametajwa kwenye album kama mwandishi wa nyimbo.
Safaree ameandika Instagram “Asante kwa kunitaja kwenye album yako kama mwandishi wa nyimbo zako, sijazoea kufanyiwa hivyo “.
Comment hii imetafsiriwa kama kumponda Minaj sababu aliwahi kukana kuandikiwa na Safaree.
Minaj
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment


widgeo.net