karibu

karibu
kwa wote wapenda vitu vizur
Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks
Powered By google

Barakah Da Prince alipataje mafanikio?, collabo ya Joh Makini na Davido, Shetta kuhusishwa na dawa za kulevya?..#255

Barakah Da Prince baada ya kujipatia mafanikio kupitia muziki wake leo 255 imepiga naye stori kuhusu alipotota.. amefunguka na kusema alivyoanza muziki alikua mbunifu sana..uwezo wake ulifahamika wakati wa show za fiesta Mikoani ngawa mwanzo alipata shida sana baada ya kutopewa nafasi na ikambidi atumie gharama zake kuzunguka Mikoani wakati wasanii wengine wakienda kuperfom.
prince
Barakah Da Prince
Joh Makini amefunguka kuhusu mchakato wa kurekodi ngoma na Davido na kusema kuwa mpaka sasa hajajua wimbo utakuwa wa kwake au wa Davido au watashirikiana pamoja, bado wapo kwenye mazungumzo…Davido amekua akimtafuta ili afanye naye collabo.alimuona kwenye fiesta.itakua mwaka huu.

joh
Joh Makini
Hivi karibuni shetta alishare picha akiwa na marafiki zake Afrika Kusini.. baadhi ya watu wakamuhisi najihusisha na dawa za kulevya…mwenyewe leo amefunguka na kusema haumizwi na vitu ambavyo anazushiwa, anafanya maisha yaken na muziki wake…amezushiwa anauza dawa za kulevya lakini si kweli..hapendi kuingiliwa uhuru wake wa kuwa na marafiki.
shet
Shetta
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment


widgeo.net