karibu

karibu
kwa wote wapenda vitu vizur
Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks
Powered By google

Meek Mill alisema hana beef na Future… nini kiko kichwani kwa Future?


Baada ya beef ya Meek Mill na Drake kumalizika Meek Mill alionekana kama anatafuta beef na Future… kama unakumbuka nilikusogezea stori moja ya Meek Mill wiki chache zilizopita ambapo alimtaka Dj wake kuacha kupiga nyimbo za Future kwenye show yake akidai zinamkera.
meeek4
Drake.
Sasa habari ikufikie mtu wangu wiki moja iliyopita Meek Mill aliulizwa kama kuna kitu chochote kati yake na Future, rapper huyo alikataa na kusema kuwa hana tatizo lolote lile na Future na wala hatafuti beef na yeye… Sawa, je Future anahisi hivyo!?
meeek
Meek Mill & Future.
Future na Drake wameachia mixtape yao mpya na mpaka sasa inafanya vizuri Marekani, watu wanaonyesha support kubwa kwa kudownload kwa wingi kupitia mitandao… lakini kinachoweka headlines muda huu kuhusu mixtape hii ni baadhi ya nyimbo zinazosikika ndani yake ambazo kutokana na mitazamo ya mashabiki kwenye Twitter, inasemekana kuna wimbo wao mmoja ambao Future ameimba kwa lengo la kumshambulia Meek Mill!
meeek3
Meek Mill.
Wimbo unaitwa ‘Big Rings’ na kwenye moja ya verse ya wimbo huo Future anasikika akisema; “wewe unarap kutengeneza vita, mimi narap kutengeneza biashara, wanaorap kwa kurushiana maneno, wanaimba blaah blaah”… sentensi ambayo imetafsiriwa na baadhi ya mashabiki kumanisha kuwa Future kama amemdharau fulani hivi Meek Mill kwa kusema yeye sio rapper mzuri.
Hizi ni baadhi ya Tweets za mashabiki nilizofanikiwa kuzinasa kutoka Twitter
futch
futch2
futch3
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment


widgeo.net