karibu

karibu
kwa wote wapenda vitu vizur
Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks
Powered By google

U HEARD: Alichojibu Mirror baada ya kudaiwa kutengwa na Wema alipopata ajali


March 28 2017 kupitia U heard ya Clouds FM, Soudy Brown baada ya kurejea kutoka likizo ameileta hii inayomhusu mkali wa muziki wa Bongo fleva Mirror anayedaiwa kutelekezwa na Management yake wakati anajiuguza hadi kupona kutokana na kupata ajali ya gari.
“Hamna, mimi sina matatizo na mtu, Madam sina tatizo naye hakuwahi kuja kunitembelea nyumbani sijajua labda yupo busy na kazi zake ila sina tatizo naye japo kuna wasanii kibao wamekuja kunitembelea. Watu wengi sana, ila sina noma na mtu yoyote” – Mirror
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment


widgeo.net