karibu

karibu
kwa wote wapenda vitu vizur
Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks
Powered By google

Huyu ni msanii mwingine kutoka Afrika aliyesaini na Lebo ya Sony Music


imageMkataba aliosaini YCEE unaonesha kuwa Sony Music watasimamia albam yake ya kwanza na ngoma zake zote zitakazoanza kutoka pamoja na usambazaji wake kuanzia sasa zitakua chini ya mwavuli wa Sony Music. Kwa shavu hilo inamaana kuwa Ycee anaungana na Nigerian superstar Davido, pamoja na Alikiba kwenye familia ya mastar kutoka Afrika walikula deal la Sony Music.
Kwa mujibu wa Michael Ugwu, General Manager wa Sony Music West Africa amesema “Nina furaha kubwa sana kuwakaribisha Tinny Entertainment pamoja na msanii wao Ycee ndani ya familia ya Sony Music Entertainment West Africa. Nimekuwa nikishuhudia team hii ikikua kwa haraka kwenye miaka ya karibuni na nimeshangazwa na jinsi walivyoweza kufikka hapa, Ycee ni msanii mkali sana wa Hip Hop barani Afrika na muda sio mrefu atakua kwenye level za mbali sana.”
Kwa upande wa Arokodare ‘Tinny’ Timilehin, ambaye ni CEO wa Tinny Entertainment, amesema
“Tuko na furaha sana kwa upande wetu na msanii wetu Ycee. Huu ni uthibitisho kuwa tumefanya kazi kubwa sana mpaka kufikia hapa. Na katika kuonesha furaha yake juu ya deal hiyo,
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment


widgeo.net