karibu

karibu
kwa wote wapenda vitu vizur
Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks
Powered By google

Uhusiano wa kwanza kabisa wa Kim Kardashian, alikua na miaka mingapi?…


Unaweza ukadhani hakuna kingine kipya kuhusu maisha ya staa Kim Kardashian wa reality show ya ‘Keep Up with Kardashians’.
Upande wa maisha ya nyuma ya uhusiano wa Kim Kadarshian kabla ya kufunga ndoa na Kanye West, miongoni mwa wanaume aliowahi kuwa nao mapenzini ni pamoja na RJ, Reggie Bush, Kris Humphrie, Cristiano Ronaldo.
Lakini Kim Kardashian amesema kingine ambacho huenda hukuwahi kufahamu kuhusu uhusiano wake ya kwanza kabisa, aliingia mapenzini na mtoto wa kaka wa Michael Jackson aitwaye Tito Joe Jackson au TJ akiwa na miaka 14 tu.
kim na mama
Kim Kardashian akiwa na mama yake Kris Jenner
Katika kitabu cha kumbukumbu ya maisha yake kilichoandaliwa na Sean Smith kiliweka wazi uhusiano huo ambao hata hivyo haukudumu kwa muda mrefu na kuanza kutoka na RJ.
“Nilianza uhusiano nikiwa na miaka 14 tu” Kim…hakusita pia kumshirikisha mama yake mzazi Kris Jenner.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment


widgeo.net