karibu

karibu
kwa wote wapenda vitu vizur
Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks
Powered By google

Sauti Sol ndio washindi wa kundi bora katika tuzo za MTV MAMA 2016.


Kundi la Sauti Sol lenye vijana wanne wa Kenya Bien-Aimé Baraza, Willis Chimano, Savara Mudigi na Polycarp Otienola limefanikiwa kushinda tuzo ya kundi bora katika tuzo za kimataifa za MTV MAMA 2016 Zilizofanyika Afrika Kusini Weekedn hii.

Sauti Sol ni miongoni mwa makundi yenye muziki mzuri na lenye mashabiki wengi sehemu tofauti Africa. Wimbo wao mkubwa mwaka 2016 ni pamoja na Sauti Sol and Alikiba ‘Unconditionally Bae’ na Yemi Alade – Africa (Official Video) ft. Sauti Sol.
sauti-sol
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment


widgeo.net