karibu

karibu
kwa wote wapenda vitu vizur
Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks
Powered By google

Jokate Asisitiza Kuitamani Collabo ya Diamond na Alikiba


Jokate Mpenzi wa Ali Kiba
Jokate Mwegelo amesisitiza kauli yake aliyoitoa kwenye Instagram mwezi uliopita kuwa anatamani kuona Alikiba na Diamond siku moja wanafanya collabo.

Akiongea kwenye kipindi cha 5 Select cha EATV hivi karibuni, Jokate alidai kuwa ili collabo hiyo iwe nzuri, ni muhimu iwe halisi na wala isilazimishwe.

“It’s has to be natural for it to be great,” alisema Jokate na kudai kuwa ni Diamond na Alikiba ndio kiini cha muziki wa Bongo Flava kwa sasa.

Pia alidai kuwa haoni sababu tena ya kujenga bifu na ex wake, Diamond kwakuwa ameshakua kiumri na kwamba ni muhimu kushirikiana ili kuonesha ushawishi wao.

Hata hivyo Jokate aliendelea kusisitiza kuwa yeye na Alikiba ni marafiki tu na kukanusha kuwa na uhusiano.

“We are just friends, we are better than that,” alisema.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment


widgeo.net