karibu

karibu
kwa wote wapenda vitu vizur
Blogger Tips And Tricks|Latest Tips For BloggersFree BacklinksBlogger Tips And Tricks
Powered By google

Dj Mustard Afunguliwa Kesi,Hizi Nyimbo Katayarisha Mshkaji Wake,Yeye Kaziuza.


By 
djmustard
Producer aliyechukua tuzo ya mtayarishaji bora mwaka 2014  amefunguliwa kesi na rafiki yake ambaye walishirikiana kutengeneza kazi nyingi za muziki ambazo Mustard mwenyewe.
Mustard amekuwa akipewa sifa nyingi kuwa ni producer mkali baada ya kutengeneza kazi kama  “Rack City” ya Tyga na “My Ni**a” .
Music composer Mike Free amesema ameandika na kutayarisha nyimbo kama Rack City ambayo aliuziwa Tyga na mpaka sasa hajalipwa na kupewa haki na sifa za wimbo huo.
Nyimbo zingine alizoandika Mike Free ni pamoja na “I’m Different” ya 2Chainz , “Don’t Tell ‘Em” ya  Jeremih, “Party Ain’t a Party” ya Jamie Foxx na  “I Don’t F**k With You” ya  Big Sean.
SHARE

Milan Tomic

Hi. I’m Designer of Blog Magic. I’m CEO/Founder of ThemeXpose. I’m Creative Art Director, Web Designer, UI/UX Designer, Interaction Designer, Industrial Designer, Web Developer, Business Enthusiast, StartUp Enthusiast, Speaker, Writer and Photographer. Inspired to make things looks better.

  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
  • Image
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment


widgeo.net